Category Title

  • Government Budget Speeches
  • Ministry's Budget Speeches
  • Budget Books 2024/2025
  • Budget Books 2023/2024
  • Budget Books 2022/2023
  • Budget Books 2021/2022
  • Budget Books 2020
  • Budget Books 2018/2019
  • Budget Books 2015/2016
  • Budget Books 2014/2015
  • Content not found
  • Content not found
  • Content not found

Wizara ya Fedha na Mipango ni moja ya washiriki katika Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam maarufu kama Maonesho ya Sabasaba.

02 Jul, 2022
Wizara ya Fedha na Mipango ni moja ya washiriki katika Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam maarufu kama Maonesho ya Sabasaba.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Taifa Dkt. Nicolaus Shombe, akisikiliza maelezo kuhusu Taasisi ya UTT AMIS kutoka kwa Afisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Taasisi hiyo Bi. Martha Mashoku, pindi alipotembelea Banda la Taasisi hiyo katika Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (TanTrade), Tanzania, jijini Dar es Salaam

Wizara ya Fedha na Mipango ni moja ya washiriki katika Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam maarufu kama Maonesho ya Sabasaba.

Katika maonesho hayo Wizara, imeshiriki pamoja na  baadhi ya Taasisi zake zikiwemo Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB), Kampuni ya Uwekezaji ya UTT- AMIS, Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana(CMSA), Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), Tanzania Commercial Bank( TCB), Hazina Saccos, Mfuko wa Self, Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA), Mamlaka ya Kudhibiti Ununuzi wa Umma (PPRA), Mamlaka ya Rufaa ya Zabuni za Umma (PPAA), Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA),  Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) na Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA). 

Wizara na Taasisi zake inashiriki katika maonesho haya kwa lengo la kutoa elimu kwa umma. Maonesho haya ya 46 ya Kimataifa ya Biashara yalianza rasmi tarehe 28 Juni 2022, yanatarajiwa kufungwa 13 Julai, 2022.