WANANCHI WA KAHAMA WAIPONGEZA SERIKALI KWA ELIMU YA FEDHA KWA UMMA

Afisa Usimamizi wa Fedha, kutoka Wizara ya Fedha, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Bi. Elizabeth Mnzava, akimkabidhi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Bw. Masoud Kidetu, Nyenzo ya kufundishia elimu ya fedha kwa ajili ya kuendelea kutoa elimu hiyo katika maeneo yake ya kazi, mara baada ya wataalamu wa kutoa elimu ya fedha kutoka Wizara ya Fedha, kufika katika Halmashauri ya Manispasa hiyo kabla ya kuanza kutoa elimu ya fedha kwa wajasiriamali, wafanyabiashara na wananchi waliyofika katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri hiyo.