KIJANA ABELI AMKOSHA DKT. NCHEMBA KWA SANAA YA UCHORAJI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akipokea picha kutoka kwa Msanii wa Uchoraji kutoka jijini Dar es Salaam, Bw. Abel Mndeba, aliyefika kijana huyo mkazi wa mkoani Mbeya anayefanya shughuli zake Jijini Dar es Salaam, amesema kuwa amechukua uamuzi wa kuchora picha kwa kutambua mchango mkubwa wa Mhe. Dkt. Nchemba katika kukuza maendeleo ya nchi katika sekta za huduma za jamii na kiuchumi kupitia utafutaji wa rasilimali fedha zunazotumiwa na Sekta za utekelezaji wa miradi mbalimbali inayoendelea hapa nchini.