WAZIRI WA FEDHA AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA FORODHA ZANZIBAR
Waziri wa Fedha, Mhe. Khamis Mussa Omar (Mb) (Katikati), akipokea tuzo ya kutambua mchango wake katika masuala ya Forodha kutoka kwa Kamishna wa Mamlaka ya Mapato ya Afrika Kusini, Dkt. Nqobani Makhubu (Kulia), wakati wa Mkutano wa 32 wa Baraza la Uongozi la Shirika la Forodha Duniani Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika (WCO ESA) unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Golden Tulip iliyopo karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume-Zanzibar. Kushoto ni Kamishna wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania -TRA, Bw. Juma Bakari.
