UMOJA WA WANAWAKE WIZARA YA FEDHA WAZINDULIWA
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Christian Omolo, akimkabidhi zawadi mwanachama wa Umoja wa Wanawake Wizara ya Fedha (Golden Women) aliyestaafu utumishi wa umma, Bi. Marry Mwijage, wakati wa hafla ya uzinduzi wa Umoja wa Wanawake Wizara hiyo wenye kauli mbiu ‘Umoja wa wanawake katika ajira, ni hazina ya maendeleo’, iliyofanyika jijini Dodoma. Katika hafla hiyo mada mbalimbali zilkitolewa ikiwemo fursa mbalimbali za uwekezaji pamoja na afya ya akili.