MKUU WA KITENGO CHA MAWASILIANO WIZARA YA FEDHA AKAGUA MIUNDOMBINU YA HABARI MTUMBA

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Wizara ya Fedha, Bw. Benny Mwaipaja akizungumza kuhusu miundondombinu ya Mawasiliano na Mhandisi wa Jengo jipya la Wizara ya Fedha Mtumba, David Shunu, alipotembelea na kukagua miundombinu ya Mawasiliano katika jengo hilo, jijini Dodoma.