MAFURU AWAFUNDA WANAMIPANGO NCHINI
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw.Lawrence Mafuru amewataka Wanamipango kusaidia nchi kupanga na kuweka mikakati ya mipango mbalimbali ya Maendeleo inayolenga kuiwezesha nchi kuwa na kiwango cha juu cha ukuaji wa uchumi.
Bw. Mafuru alisema hayo wakati wa kufunga kongamanola mwaka la wanamipango lililofanyika Jijini Dar es Salaam.