IRAN NA TANZANIA KUENDELEZA USHIRIKIANO
Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El maamry Mwamba, akizungumza katika kikao na Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mhe. Dkt. Mohammed Nikhal, (hayupo pichani), alipotembelea Ofisi za Wizara ya Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma.