HAZINA SPORTS CLUB YAREJEA NA KOMBE LA UBINGWA WA MASHINDANO YA SHIMIWI

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Omolo, akipokea kombe la ubingwa wa mashindano ya SHIMIWI kwa upande wa mpira wa miguu kutoka kwa Kapteni wa timu ya mpira wa Miguu kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Asegelile Mboya (kulia) yaliyofanyika katika viwanja vya Samora na Chuo cha Mkwawa Mkoani Iringa kuanzia Septemba 27 hadi Oktoba 14, 2023.