DKT. NCHEMBA AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA ECOBANK
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Bw. Charles Asiedu, kuhusu ushirikiano kati ya Serikali na benki hiyo, alipomtembelea katika ofisi za Wizara ya Fedha, jijini Dodoma.