Category Title

  • Government Budget Speeches
  • Ministry's Budget Speeches
  • Budget Books 2024/2025
  • Budget Books 2023/2024
  • Budget Books 2022/2023
  • Budget Books 2021/2022
  • Budget Books 2020
  • Budget Books 2018/2019
  • Budget Books 2015/2016
  • Budget Books 2014/2015
  • Content not found
  • Content not found
  • Content not found

NAIBU WAZIRI WA FEDHA MHE. MUNDE ASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI YA MAWAZIRI AU

09 Feb, 2026
NAIBU WAZIRI WA FEDHA MHE. MUNDE ASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI YA MAWAZIRI AU

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb) akichangia hoja wakati wa kikao cha Kamati ya Mawaziri wa Nchi wanachama wa Umoja wa Afrika lichotathimini viwango vya uchangiaji wa bajeti ya Umoja wa Afrika kwa mwaka 2027 hadi 2029 kilichofanyika kwa njia ya mtandano tarehe 6 Februari 2026, jijini Dodoma.

 

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), ameshiriki kikao cha Kamati ya Mawaziri wa Nchi wanachama wa Umoja wa Afrika kilichotathimini viwango vya uchangiaji wa bajeti ya Umoja wa Afrika kwa mwaka 2027 hadi 2029 kilichofanyika kwa njia ya mtandano tarehe 6 Februari 2026 akiwa Ofisi za Wizara ya Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma.

 Mwisho.