Category Title

  • Government Budget Speeches
  • Ministry's Budget Speeches
  • Budget Books 2024/2025
  • Budget Books 2023/2024
  • Budget Books 2022/2023
  • Budget Books 2021/2022
  • Budget Books 2020
  • Budget Books 2018/2019
  • Budget Books 2015/2016
  • Budget Books 2014/2015
  • Content not found
  • Content not found
  • Content not found

DKT. YONAZI AKOSHWA NA KOZI YA USALAMA WA MTANDAO VYUO VYA WIZARA YA FEDHA

12 Jul, 2024
DKT. YONAZI AKOSHWA NA KOZI YA USALAMA WA MTANDAO VYUO VYA WIZARA YA FEDHA

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Dkt. Jim Yonazi, akisikiliza maelezo ya Mkuu wa Sehemu ya Uendelezaji wa Wanafunzi Kitaaluma na Kitaalamu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA), Bw. Imani Matonya, kuhusu programu za Chuo hicho, alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba), jijini Dar es Salaam.

 

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Dkt. Jim Yonazi, amevipongeza Vyuo vilivyo chini ya Wizara ya Fedha kwa kuwa na programu zinazoendana na mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia.

Dkt. Yonazi, alitoa pongezi hizo alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha katıka Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Julius Nyerere Barabara ya Kilwa, Temeke, jijini Dar es Salaam ambapo Vyuo hivyo kikiwemo Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kimeanzisha Kozi ya Usalama Mtandaoni (Cyber Security)

Mwisho.