Category Title

  • Government Budget Speeches
  • Ministry's Budget Speeches
  • Budget Books 2024/2025
  • Budget Books 2023/2024
  • Budget Books 2022/2023
  • Budget Books 2021/2022
  • Budget Books 2020
  • Budget Books 2018/2019
  • Budget Books 2015/2016
  • Budget Books 2014/2015
  • Content not found
  • Content not found
  • Content not found

DKT. NCHEMBA ATETA NA UONGOZI WA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI WA AFRIKA MASHARIKI

06 Mar, 2025
DKT. NCHEMBA ATETA NA UONGOZI WA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI WA AFRIKA MASHARIKI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi wa Afrika Mashariki (EACOP), Bw. Philippe Groueix, Kando ya Mkutano wa 11 wa Mafuta na Gesi unaozihusisha nchi za Afrika Mashariki unaoendelea katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere, JNICC, Jijini Dar es Salaam, ambapo wamejadiliana kuhusu maendeleo ya ujenzi wa mradi huo. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa EACOP, Bw. Guillaume Dulout.