Category Title

  • Government Budget Speeches
  • Ministry's Budget Speeches
  • Budget Books 2024/2025
  • Budget Books 2023/2024
  • Budget Books 2022/2023
  • Budget Books 2021/2022
  • Budget Books 2020
  • Budget Books 2018/2019
  • Budget Books 2015/2016
  • Budget Books 2014/2015
  • Content not found
  • Content not found
  • Content not found

DKT. NCHEMBA ATETA NA MAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA JIJINI DODOMA

11 Oct, 2024
DKT. NCHEMBA ATETA NA MAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA JIJINI DODOMA

Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia anayesimamia Kanda ya Afrika Mashariki na Kusini, Bi. Victoria Kwakwa (kushoto), akizungumza jambo na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo ambaye pia ni Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, katika ofisi ya Mhe. Waziri, Jijini  Dodoma. Bi. Kwakwa yuko nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu.

 

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amekutana na kufanya Mazungumzo na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia anayesimamia Kanda ya Afrika Mashariki na Kusini, Bi. Victoria Kwakwa, baada ya kuwasili katika Ofisi za Wizara ya Fedha jijini Dodoma. Bi. Kwakwa yuko nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Benki ya Dunia.

Bi. Kwakwa alilakiwa pia na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba na Naibu Katibu Mkuu, Bw. Elijah Mwandumbya.

MWISHO