Category Title
-
01 Mar, 2022The Microfinance (Saving and Credit Cooperative Societies) Regulations, 2019
-
01 Mar, 2022The Microfinance (Non- Deposit Taking Microfinance Service Providers) Regulations, 2019
-
28 Feb, 2022The Microfinance (Community Microfinance Groups) Regulations, 2019
-
View All
-
28 Feb, 2022MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA 2022/23
-
28 Feb, 2022MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA 2021/22
-
13 Nov, 2021Guidelines For Preparation of Plans and Budget 2020_21
-
12 Nov, 2021Guidelines For Preparation of Plans and Budget 2018_19
-
12 Nov, 2021Mwongozo 2018_19
-
12 Nov, 2021Mwongozo 2019_20
-
11 Nov, 2021Guidelines For Preparation of Plans and Budget 2017_18
-
05 Nov, 2021Budget Guideline 2008 - 09 Part II
-
05 Nov, 2021Budget Guideline 2008 - 09 Part I
-
05 Nov, 2021Budget Guideline 2009 - 10 Part II
-
View All
-
14 Jun, 2022Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2022.23
-
02 Mar, 2022Implementation Strategy for the National Development Plan 2016/17 – 2020/21 Volume IV - Communication strategy April, 2018.
-
01 Mar, 2022Implementation Strategy for the National Five - Year Development Plan 2016/17 – 2020/21 VOLUME II
-
28 Feb, 2022M&E Strategy of the 2nd FYDP
-
27 Feb, 2022The Action Plan of Implementation of the 2nd FYDP
-
View All
-
14 Jun, 2022SPEECH OF GOVERNMENT BUDGET FOR 2022-23 ENGLISH VERSION
-
01 Mar, 2022BUDGET SPEECH ENGLISH - 2021/22
-
28 Feb, 2022BUDGET SPEECH ENGLISH
-
View All
-
02 Jun, 2022THE BUDGET EXECUTION REPORT FOR THE THIRD QUARTER OF 2021/22 (JANUARY - MARCH 2022)
-
30 Apr, 2022THE BUDGET EXECUTION REPORT FOR THE SECOND QUARTER OF 2021/22
-
29 Apr, 2022BER Q1 2021- 22-FINAL
-
02 Mar, 2022THE BUDGET EXECUTION REPORT 2020/21 (JULY 2020 TO JUNE 2021)
-
01 Mar, 2022Budget Execution Report (BER) for the First Quarter of 2020-21
-
01 Mar, 2022The Budget Execution Report for the Second Quarter of 2020/21
-
01 Mar, 2022The Budget Execution Report for the Third Quarter of 2020/21
-
28 Feb, 2022THE BUDGET EXECUTION REPORT FOR THE THIRD QUARTER OF 2018/19 (JANUARY – MARCH, 2019)
-
01 Jan, 2022Budget Execution Report for the First Quarter 2019-20
-
01 Jan, 2022Budget Execution Report for the Forth Quarter 2018-19
-
View All
-
03 Mar, 2022GOVERNMENT BUDGET CITIZENS’ EDITION 2021/2022
-
02 Mar, 2022GOVERNMENT BUDGET CITIZENS’ EDITION 2020/2021
-
01 Mar, 2022GOVERNMENT BUDGET CITIZENS’ EDITION 2019/2020
-
28 Feb, 2022GOVERNMENT BUDGET CITIZENS’ EDITION 2018/2019
-
25 Feb, 2022GOVERNMENT BUDGET CITIZENS’ EDITION 2017/2018
-
20 Feb, 2022GOVERNMENT BUDGET CITIZENS’ EDITION 2016/2017
-
View All
-
Budget Books 2022/2023
-
Budget Books 2021/2022
-
Budget Books 2020
-
Budget Books 2018/2019
-
Budget Books 2015/2016
-
Budget Books 2014/2015
-
Economic Survey Books
-
19 Jul, 2022Revenue_estimates_22_23
-
07 Jun, 2022VOLUME II As Submitted 2022_23
-
07 Jun, 2022VOLUME III As Submitted 2022_23
-
07 Jun, 2022VOLUME IV As Submitted 2022_23
-
View All
-
29 Jun, 2022VOLUME IV AS PASSED BY PARLIAMENT 2021.22
-
01 Jun, 2022VOLUME II AS PASSED BY PARLIAMENT 2021.22
-
31 May, 2022VOLUME III AS PASSED BY PARLIAMENT 2021.22
-
07 Mar, 2022VOLUME II ESTIMATES OF PUBLIC EXPENDITURES AS PASSED BY THE PARLIAMENT 2021.2022 (MINISTERIAL)
-
06 Mar, 2022VOLUME III ESTIMATES OF PUBLIC EXPENDITURES AS PASSED BY THE PARLIAMENT 2021.2022 (REGIONAL)
-
05 Mar, 2022VOLUME IV PUBLIC EXPENDITURE ESTIMATES DEVELOPMENT VOTES AS PASSED BY THE PARLIAMENT 2021.2022 (Ministerial and Regional Development Programmes)
-
04 Mar, 2022VOLUME I Financial Statement & Revenue Estimates for the year from 1 July 2021- to 30th June 2022
-
03 Mar, 2022VOLUME II Estimates of Public Expenditure Consolidated Fund Services and Supply Votes (Ministerial) - 2021.22
-
28 Feb, 2022VOLUME III Estimates of Public Expenditure Supply Votes (Regional) - 2021-22
-
27 Feb, 2022VOLUME IV Public Expenditure Estimates Development Votes (Ministerial and Regional Development Programmes ) - 2021.22
-
View All
- Content not found
-
03 Mar, 2022VOLUME I - FINANCIAL STATEMENT AND REVENUE ESTIMATES 2018-19
-
02 Mar, 2022volome II 2018_19
-
28 Feb, 2022Volume III 2018_19
-
27 Feb, 2022volome IV 2018_19
-
26 Feb, 2022KITABU CHA MKAKATI WA KUZIWEZESHA HALMASHAURI KUJITEGEMEA KIMAPATO
-
View All
-
03 Mar, 2022Volume II -as passed 2014-15
-
02 Mar, 2022Volume III -as passed 2014-15
-
01 Mar, 2022volume IV-as passed 2014-15
-
View All
-
14 Jun, 2022HALI YA UCHUMI WA TAIFA 2021
-
02 Mar, 2022Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2021.22
-
28 Feb, 2022KITABU CHA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KATIKA MWAKA 2018
-
27 Feb, 2022KITABU CHA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KWA MWAKA 2017
-
View All
- Content not found
- Content not found
-
14 Jun, 2022HOTUBA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KATIKA MWAKA 2021 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2022-23
-
14 Jun, 2022BUDGET SPEECH 2022-23 ENGLISH VERSION
-
View All
-
10 Jun, 2022CONSOLIDATED FINANCIAL STATEMENTS 30 JUNE 2021
-
03 Mar, 2022Audited Consolidated Financial Statements for the year ended 30th June, 2020"
-
02 Mar, 2022Audited Consolidated Financial Statements for the year ended 30th June, 2019"
-
28 Feb, 2022Audited Consolidated Financial Statements for year ended 30th June, 2018
-
27 Feb, 2022Audited Consolidated Financial Statements for year ended 30th June, 2017
-
View All
DKT. NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA SOKO KUU LA KARIAKOO DAR ES SALAAM
03 Aug, 2022

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza na Jumuiya ya wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo, Jijini Dar es Salaam, baada ya kusikiliza changamoto zinazowakabili na kuzipatia ufumbuzi ikiwemo msuguano baina yao na Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRA kuhusu masuala ya kodi na risiti za kieletroniki.
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameiagiza mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutatua changamoto mbalimbali za wafanyabiashara wa Soko Kuu la Kariakoo ili kuchochea biashara katika soko hilo linalotegemewa na wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi.
Dkt. Nchemba ametoa maagizo hayo baada ya kufanya ziara ya ghafla katika Soko hilo akiambatana na Naibu Spika Na Mbunge wa Ilala Mhe. Mussa Azan Zungu, Mkuu wa Wiaya ya Ilala Bw. Ng’wilabuzu Ludigija na Uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRA
Wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo walieleza changamoto zao mbalimbali zinazowakabili ikiwemo madai ya kushuka kwa biashara ya Nje kutokana na ukaguzi wa mara kwa mara unaofanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa wafanyabishara wa kigeni, ukaguzi ambao walidai si rafiki.
Walisema kuwa wafanyabiashara kutoka nje wanasumbuliwa kwa kudaiwa kuwa risiti wanazopewa na wafanyabiashara baada ya kununua bidhaa hazikuwa sahihi na kuzuiwa mizigo yao hali inayosababisha usumbufu kwa wageni na kumwomba Mheshimiwa Waziri Nchemba aingilie kati ili kufufua biashara katika Soko hilo.
Aidha, Wafanyabiashara hao waliiomba Serikali iongeze kiwango cha mfanyabiashara kusajiliwa kuwa mlipakodi wa VAT kutoka shilingi milioni 100 hadi shilingi milioni 500 ili kusisimua biashara zao na kuongeza mzunguko wa fedha utakaowasaidia kukua na kuwa wafanyabiashara wakubwa.
Ili kupunguza changamoto za kodi na ukusanyaji wa mapato ya Serikali, wafanyabishara hao walipendekeza kodi zote ziwe zinatozwa bandarini wakati mizigo inapoingia nchini na kuacha biashara katika Soko la Kariakoo iendelee bila bughudha za masuala ya kodi.
Aidha, Wafanyabiashara hao waliwalalamikia baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania wasio waaminifu wanaotumia mwanya wa makosa yanayofanywa na baadhi ya wafanybiashara kudai rushwa na kuikosesha Serikali mapato.
Naibu Spika na Mbunge wa Jimbo la Ilala Mhe. Mussa Azan Zungu alimwomba Mbeshimiwa Waziri Nchemba, kuwachukulia hatua kali watumishi hao wasiowaaminifu wanaotumia nafasi zao kujinufaisha kwa kudai na kupokea rushwa kutoka kwa wafanyabiashara.
Aidha, Mhe. Zungu aliishauri Serikali ipunguze kiwango cha kodi ya mapato (VAT) ili kuwawezesha wafanyabiashara kulipa kodi husika kwa urahisi na hiari zaidi hatua ambayo itakuza biashara na faida kwa wafanyabiashara nchini.
Akijibu hoja za wafanyabiashara hao waliokuwa wakimshangilia mara kwa mara, Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, aliiagiza TRA kukutana na wafanyabiashara hao na kutatua kero mbalimbali zinazowakabili.
Alisema kuwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameelekeza mazingira ya kufanyiabiashara kwa wafanyabiashara nchini yaboreshwe ili kundi hilo liweze kuchangia ukuaji wa uchumi wa nchi na kukuza ajira.
Aliahidi kuwa katika mwaka wa Fedha ujao wa 2023/2024 kutakuwa na mabadiliko makubwa ya kikodi ikiwemo kupunguza VAT na kuja na utaraibu mzuri utakaohamasisha na kukuza biashara nchini.
Aidha, aliahidi kuwa Serikali itaongeza kiwango cha masharti ya wafanyabiashara wanaostahili kusajiliwa kwenye VAT kutoka kiwango cha sasa cha na VAT cha shilingi milioni 100 na kuwekwa kiwango kipya mwaka mpya wa bajeti utakapofika kwa sababu kiwango hicho cha sasa ni cha chini ikilinganishwa na ukubwa wa biashara zinazofanyika.
Dkt. Nchemba aliiagiza pia TRA kutozuia mizigo ya wafanyabiashara wa kigeni wanaonunua bidhaa zao katika Soko la Kariakoo na kuwataka washughulike na wafanyabiashara wasiowaaminifu waliotenda makosa husika kwa kuwa mifumo ya ndani ya nchi haiwahusu wafanyabiashara hao.
Katika hatua nyingine, aliwataka wafanyabiashara hao kuwa waaminifu na kufanyabiashara kwa kufuata misingi mizuri iliyowekwa ikiwemo kutoa risiti halalali zinazolingana na bidhaa walizouza ili kuepuka usumbufu.
Aidha, Dkt. Nchemba aliwaonya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania wasiowaaminifu wanaojihusisha na vitendo vya kudai na kupokea rushwa na kwamba hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao na kuwataka wafanyabiashara hao kutoa taarifa ya watumishi wa namna hiyo wanaoikosesha Serikali mapato.
Kwa upande wake Kamishna wa Kodi za Ndani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, aliyemwakilisha Kamishna Mkuu katika ziara hiyo ya kushtukiza, Bw. Herbert Kabyemela, aliahidi kuzifanyia kazi changamoto zilizowasilishwa na wafanyabiashara hao na kubainisha kuwa tatizo kubwa linaloikabili Mamlaka hiyo ni suala la ukosefu wa uaminifu wa wafanyabiashara hususan katika kutoa risiti zinazolingana na bidhaa wanazouza.
Dkt. Nchemba aliwaahidi wafanyabiashara hao kwamba atarejea tena sokoni hapo hivi karibuni kusikiliza kero na changamoto zao na kwamba mkutano huo alioufanya utaleta mabadiliko ili Soko hilo la Kariakoo liendelee kuchangia mapato ya Serikali na uchumi wa wafanyabiashara kwa ujumla
Mwisho