Serikali ya Tanzania imerejea tena dhamira yake ya kushirikiana kwa karibu na Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC) ili kuongeza uwekezaji wa sekta binafsi, kupanua miundombinu na kuharakisha Mpango wa Taifa wa mabadiliko ya nishati chini ya Dira ya Taifa ya Maendeleo (DIRA 2050).
Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) ametoa rai kwa Taasisi ya Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Afrika (ATIDI) kushirikiana na Tanzania hususani katika kukuza Sekta binafsi ili nchi iweze kufikia malengo ya Dira ya Taifa 2050.
Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeendelea kung’ara kimataifa baada ya kushinda tuzo ya “Infrastructure Finance Deal of the Year 2026” zinazotolewa na Global Banking & Markets, kufuatia mafanikio ya upatikanaji wa mkopo wenye masharti nafuu wa dola za Marekani bilioni 1.78 kwa ajili kugharamia ujenzi wa reli ya kisasa ya umeme (SGR) kwa kipande cha tatu na cha nne.
Serikali ya Tanzania imewakaribisha wawekezaji kutoka Uturuki kuwekeza katika sekta za kimkakati zikiwemo miundombinu, nishati na kilimo, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuharakisha maendeleo ya uchumi na kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili.
UZINDUZI WA SERA YA TAIFA YA USIMAMIZI WA MNYORORO WA UGAVI YA MWAKA 2025
Waziri Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza jambo wakati wa kikao chake na Ujumbe kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) ulioongozwa na Kamishna wa Bima Tanzania, Dkt. Baghayo Saqware (hayupo pichani), katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, afungua Kikao kazi cha Wataalamu wa Serikali ya Tanzania na Ujumbe kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), kilichofanyika Ofisi za Wizara ya Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma.
TANZANIA YAORODHESHWA KATIKA NCHI ZINAZOTAZAMIWA KUFUZU KUTOKA NCHI MASIKINI
MPANGO WA MAENDELEO YA SEKTA YA FEDHA WATEKELEZWA KWA UFANISI
WIZARA YA FEDHA YAJINOA UTOAJI WA TAARIFA KWA UMMA