Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea bilioni 749.5 kutoka Jumuiya ya Nchi za Ulaya. Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha na Uchumi Mh. Mustafa Mkulo wakati wa kusaini makubaliano hayo. Soma zaidi..
Ufunguzi wa Baraza la Wafanyakazi
"Tunahitaji Kutekeleza majukumu yetu kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma",haya yamesemwa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Ndg. Leonidas Gama wakati wa ufunguzi wa mkutano wa baraza la wafanyakazi mkoani Mbeya kwa niaba ya waziri wa Fedha na Uchumi Mhe. Mustafa Mkulo. Soma zaidi..
Tanzania receives 379.5 million Euros Aid from European Commission.
Minister of Finance and Economic Affairs Hon Mustafa Haidi Mkulo (MB) signing of the Financing agreement under European commission. Read More..
MGAWO FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA, LGAS, MWEZI OKTOBA - 2009
Mgawo wa Fedha za Matumizi ya kawaida, LGAS Mwezi Oktoba - 2009. Download..
Last Updated ( Tuesday, 08 December 2009 )
SERIKALI KUENDELEA KUKIJENGEA UWEZO CHUO CHA MIPANGO DODOMA
Waziri wa Fedha na Uchumi Mhe. Mustafa H. Mkulo amesema Serikali itaendelea kukijengea uwezo chuo cha Mipango kwa kadri ya mahitaji na upatikanaji wa fedha. Soma zaidi..
Tender No. ME/004/2009-10/HQ/G/8 for Supply of ICT Equipment for IAA. Invitation for Bids.Read more
Awarded Tenders for Financial Year 2009/2010 Mid Year Review. Read more..
Mwaliko kwa Wadau wa kushiriki katika shughuli za Kamati ya Sera za Kodi (Task Force on Task Reform) kwa ajili ya Matayarisho ya Bajeti ya 2010/11. Soma zaidi..
Invitation to Stakeholder to participate in the upcoming proceeding of the Task Force on Tax Reform in preparation for Budget 2010/11. Read more..
Tender No.ME/004/2009-10/HQ/G/2 for Supply of Various Office Equipment. Read more..
Tender No.ME/004/2009-10/HQ/G/3 for Supply of Various Office Furniture. Read more..
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KWA WAHASIBU II, WAHASIBU WASAIDIZI, WASAIDIZI WA HESABU, WAKAGUZI WA NDANI II NA WAKAGUZI WA NDANI WASAIDIZI. Soma zaidi..